TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION
TANGAZO SHIWATA
Monday 21 September 2015
Wasanii wachangamkia misingi ya nyumba SHIWATA
Na Peter Mwenda, Mkuranga
WASANII na wanamichezo wameupongeza Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) kubuni njia ya kuwakomboa wasanii kumiliki ardhi kwa kuwamilikisha viwanja bure katika kijiji cha Wasanii Mkuranga baada ya kulipia msingi wa nyumba kwa sh. 200,000.
Baadhi ya Wasanii waliomilikishwa misingi hiyo juzi waliambia Majira kuwa mpango huo mpya ni mzuri na mkombozi kwao kwa vile kipato chao si cha uhakika kulinganisha na mpango uliokuwa umebuniwa awali wa msanii kuchangia mpaka akamilishe kulipia nyumba ndipo amilikishwe.
Alisema katika misingi hiyo wanaotaka kumaliza nyumba zao gharama yake jumla itakuwa sh. 850,000 kwa nyumba ya chumba kimoja, sh. 3,800.000 kwa nyumba ya vyumba viwili na sh. 6,400,000 kwa nyumba vya vyumba vitatu na sebule.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment