Mwenyekiti wa SHIWATA Cassim Talib (kulia),akiwa amebeba tofali na wasanii wengine kwa ajili ya kujenga misingi ya nyumba kwa gharama ya sh.200,000 ambapo atapewa kiwanja cha miguu 35 kwa 35 bure katika kijiji cha Wasanii Mwanzega Mkuranga mkoa wa Pwani ambako Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unamiliki hekari 300 za makazi.(Picha na Peter Mwenda).
No comments:
Post a Comment