Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi (kushoto) akimkabidhi tuzo Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Isere Sports, Abbas Ally (kulia) kwa ushiriki wao uliofanikisha ushindi wa jumla wa UMITASHUMTA kwa mkoa wa Dar es Salaam hivi karibuni katika mashindano yaliyofanyika Mwanza.Sherehe hizo zilifanyika juzi jijini Dar es Salaam (Picha na Peter Mwenda)
No comments:
Post a Comment