TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Monday 21 September 2015

Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib (kulia) akifafanua kwa wasanii namna atakavyomilikishwa eneo baada ya kulipia msingi wa chumba kimoja kwa gharama ya sh. 200,000 kwa kupewa kiwanja cha ukubwa wa miguu 35 kwa 35 bure kwa ajili ya kujenga nyumba kubwa katika Kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga mkoa wa Pwani ambako Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) unamiliki hekari 300 za kujenga nyumba za makazi.Picha na Peter Mwenda.


No comments:

Post a Comment