Kampuni ya Business Connexion yahamasisha kuhusu fursa zilizopo
Kampuni ya Business Connexion yahamasisha kuhusu fursa zilizopo
DAR ES SALAAM, Tanzania, July 28, 2015/ -- Tanzania
ina fursa nyingi ambazo bado hazijatumika. Kwa mujibu wa Benki ya
Dunia.
Uchumi unategemewa kukua kwa wastani wa asilimia7.2 mwaka huu na
uwekezaji wa serikali kwa kiasi kikubwa katika mkongo wa taifa unaongeza
biashara na upatikanaji wa teknolojia kwa raia ili kujenga fursa za
kusonga mbele kwenye teknolojia zetu. Pamoja na kuibuka kwa teknolojia
nyingi zisizokuwa na mpangilio.
Hatua hii imewekwa kwa ajili ya
kuongezeka kwa fursa nyingi. Haya ni maoni ya Jane Canny, Afisa
Uendeshaji Mkuu katika Kampuni la Business Connexion (http://www.bcx.co.za).
No comments:
Post a Comment