Na Mwandishi Wetu
TANZANIA jana ilikumbwa na hofu ya kisiasa baada ya mgombea urais kipenzi cha wanachamawa CCM aliyekatwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais Julai mwaka huu, Edward Lowassa kujiunga CHADEMA.
Wafuasi wa Lowassa ambao katika kipindi cha wiki mbili walikuwa kimya kumsikiliza Lowassa akama anabaki CCM au anakihama chamahicho jana walipata jibu na wengine wanatafakari kubakichama tawalaau kumfuata mgombea wao aliyehamia upinzani.
No comments:
Post a Comment