Nyambui awaaga watanzania shingo upande
Meneja Mauzo wa Kampuni ya Isere Sports,Abbas Ally akimkabidhi zawadi ya suti Katibu Mkuu wa zamani wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui anayekwenda kufanya kazi ya kufundisha riadha nchini Brunei,Asia.
No comments:
Post a Comment