TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Monday, 29 July 2013

Waumini wa Kitunda tunakutakia utumishi mwema Padre Slaa

V
Viongozi wa Walei Kanisa Katoliki Parokia ya Kitunda, Jimbo Kuu la Dar es Salaam  wakiwa katika picha ya pamoja na Paroko Msaidizi, Israel Slaa wa pili kulia katika sherehe ya kumuaga anahamia Parokia ya Magoni (kulia) ni Mwenyekii Dkt.Daud Chacha, Katibu, Bw Saimon Nguka na Katibu Msaidiz Bi Magreth Maregesi

No comments:

Post a Comment