Huyu ndiye Balozi mdogo wa kwanza wa Mexico nchini Tanzania Bw. Mohammad Reza akipongezwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Bernard Membe kushoto ni Balozi wa Mexico kwa nchi za Afrika Mashariki.Balozi mpya Reza ni mtanzania.
No comments:
Post a Comment