TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Friday, 25 March 2011

Wenye UKIMWI walikwenda kwa Babu wasiache ARVs Dkt. Kalinga

Na Mwandishi Wetu

MKURUGENZI wa Sera wa Tume ya UKIMWI, Dkt. Kalinga amewataka waathirika wa UKIMWI wanaokwenda kunywa dawa kwa babu wa Liliondo wasiache kutumia dawa za kuongeza maisha za ARVs.

No comments:

Post a Comment