TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Tuesday 9 December 2014

EFM ILIVYOFUNIKA BOVU DAR LIVE, KILELE CHA BAR KWA BAR MUZIKI MNENE



Wafanyakazi wa EFM Radio wakiwa katika pozi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene.
Ma DJ kutoka EFM wakitoa burudani.
Mtangazaji wa Michezo wa EFM Radio, Maulid Kitenge akiwaburudisha mashabiki.
Omary Katanga wa EFM naye akifanya yake stejini.
Inspector Haroun 'Babu' akifanya makamuzi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene ndani ya Dar Lve jana.
Nyomi iliyohudhuria sherehe za kilele hicho.
Burudani mwanzo mwisho.
DJ mkongwe nchini, Majay Majizzo akifanya yake stejini na kupagawisha mashabiki vilivyo.
Babu aliamua kuvua viatu na kubaki peku baada ya burudani kukolea.
Kitenge katika pozi na mdau.
Mtangazaji wa EFM,Katika picha ya pamoja na Meneja Uhusiano wa EFM, Kanky Mwaigomole.
Watangazaji na Ma DJ wa EFM wakifanya yao ndani ya Dar Live.

UMATI wa wapenzi wa burudani jana ulifurika katika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala, Zakheem jijini Dar katika kilele cha matamasha yaliyoandaliwa na EFM Radio yajulikanayo kama Bar kwa Bar Muziki Mnene.
Burudani kutoka kwa Inspector Haroun zilikonga vilivyo nyonyo za mashabiki huku DJ Makey, watangazaji wa EFM Maulid Kitenge na mwenzake Omary Katanga wakiwapa raha tosha mashabiki waliofurika katika ukumbi huo.

No comments:

Post a Comment