TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Monday 25 August 2014

Mshindi kati ya Muddy matumla vs Nassibu Ramadhani atapambana na Francis miyeyusho kuwania ubingwa wa dunia WPBF


Bondia Mohamed Matumla kushoto akipambana na Nassibu Ramadhani   mpambano wao wa kwanza alishinda Matumla

MSHINDI wa mpambano wa September 27 kati ya Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani atamvaa bondia Mshindi kati ya Muddy matumla vs Nassibu Ramadhani atapambana na Francis miyeyusho kuwania ubingwa wa dunia WPBF

mpambano utakaofanyika nchini kwa ajili ya kugombania ubingwa uho baada ya mpambano wa Matumla na Nasibu kupatikana mshindi

No comments:

Post a Comment