TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Thursday 24 July 2014

GSK YATANGAZA KUWASILISHA KWA CHANJO YA MALARIA YA RTS, S

London Uingereza

 GSK leo  Julai 24-2014, imetangaza   imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya  Ulaya ya Madawa Agency (EMA).

Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa  viwandani vya nchi za  Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje  ya EU. Utathmini huu hufanywa na EMA kwa kushirikiana na WHO, na huhitaji madawa na chajo kufikia viwango vinavyokubalika kwa ajili ya matumizi katika nchi za  EU. Uhakiki kwa ajili ya maombi ulipewa na CHMP baada ya mkataba kutoka kwa WHO kuwa RTS, S kukamilisha vigezo kwa tathmini hiyo.

Matumizi ya RTS,S yamelengwa dhidi ya vimelea vya malaria vya Plasmodium falciparum, ambao vimenea zaidi katika bara la kusini mwa sahara Afrika. Makadirio yananoneyesha karibu asilimia 90 ya vifo kutokana na malaria hutokea katika bara la kusini mwa sahara Afrika , na asilimia 77 ya haya ni katika watoto chini ya miaka 5.

Uwasilishaji wa EMA ni hatua ya kwanza katika mchakato wa udhibiti kwa kufanya chanjo ya  RTS,S inapatikana kama mojawapo ya suluhisho za kuzuia malaria. Matumizi ya chanjo pamoja na suluhisho nyingine kama vile vyandarua na madawa ya kupambana na malaria huonyesha ukuaji wa mbinu za kudhibiti malaria. Hadi sasa hakuna chanjo yeyote ambayo imepata leseni ya matumizi kwa kuzuia malaria.

 Kama maono mazuri yatatoka kwa Ema, WHO imesema itapendekeza sera kabla ya mwisho wa  mwaka 2015. Mapendekezo ya sera ni mchakato rasmi ya WHO yalioyoundwa kusaidia katika maendeleo ya ratiba ya chanjo ya magonjwa yanayoathari  afya ya umma, kama vile malaria.

Maoni chanya kutoka EMA pia yatakuwa msingi ramsi ya idhini ya maombi ya masoko kwa mamlaka ya udhibiti ya Taifa (NRAs)  katika nchi za kusini mwa bara la afrika. Utathmini kutoka Shirika la madawa Ulaya unahitajika na mamlaka za udhibiti ya nchi mbalimbali za Afrka kabla ya usajili wa dawa za zinazotengenezwa Ulaya. Kama maamuzi  haya ha uthibity yatakuwa chanya, itasaidia kupata njia ya kuwezesha utekelezaji kwa kiasi kikubwa Maoni chanya , maamuzi haya ya udhibiti ingesaidia kusafisha njia kuelekea utekelezaji wa chanjo kupitia programu za taifa za chanjo Afrika.

 Dk Sophie Biernaux, Mkuu wa Malaria Vaccine Franchise, GSK alisema: "Huu ni wakati muhimu katika safari GSK ya miaka 30 kuendeleza RTS, S na inatuleta hatua moja mbele kwa upatikanaji wa chanjo ya kwanza ya malaria duniani na itasiaidia kulinda watoto wa Afrika kutokupata malaria. "

Takwimu kutoka awamu ya III ya majaribio ya chanjo uliofanyika  katika vituo 13 vya utafiti ziliomo katika nchi nane za Afrika (Burkina Faso, Gabon, Ghana, Kenya, Malawi, Msumbiji, Nigeria, na Tanzania) ikiwa ni pamoja na zaidi ya 16,000 watoto wachanga na watoto wadogo waliounganishwa kuunga mkono  jalada

 


No comments:

Post a Comment