Baadhi
 ya washiriki wa mbio za Baiskeli Kanda ya Ziwa (Safari Bike Race) 2013,
 Wanaume wakichuana kuelekea Nzina (Igunga) km 210 kutoka Shinyanga na 
kurudi wakati wa sherehe za sikuu ya nane nane ambazo hufanyika kila 
mwaka kwa kanda hiyo.
Mwakilishi
 wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Kaimu katibu tawala Rasilimali na Watu wa
 Shinyanga, Projestas Lubanzibwa(kushoto) akimkabidhi bingwa wa Mbio za 
Baskeli Kanda ya Ziwa (Safari Bike Race) 2013, Masunga Duba kutoka 
Mwanza, kitita cha shilingi milioni moja (1000000/=) zilizofanyika 
Mkoani Shinyanga wakati wa sherehe za siku kuu ya nanene ambazo 
hufanyika kila mwaka.
Bingwa
 wa Mbio za Baskeli Kanda ya Ziwa (Safari Bike Race) 2013, Masunga Duba 
kutoka Mwanza(kulia) akionyesha kitita cha shilingi milioni moja 
(1000000/=) mara baada ya kukabidhiwa na mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa 
Kaimu katibu tawala Rasilimali na Watu wa Shinyanga, Projestas 
Lubanzibwa zilizofanyika Mkoani Shinyanga wakati wa sherehe za siku kuu 
ya nanene ambazo hufanyika kila mwaka.
Baadhi
 ya wakazi wa Mkoa wa Shinyanga wakiwa wamefurika katika Uwanja wa mpira
 wa Miguu wa Kambarage Mkoani Shinyanga kushuhudia mbio za Baiskeli kwa 
kanda ya Ziwa zinazojulikana kwa “Safari Bike Race” wakati wa 
kusherehekea sikuu ya nane nane ambazo hufanyika kila mwaka kwa kanda 
hiyo.
Msanii
 wa kutoka kampuni ya Integrated Comminications,Jembe Ulaya akitumbuiza 
mara baada ya mashindano ya Mbio za baiskeli Kanda ya Ziwa(Saafari Bike 
Race) wakati wa kusherehekea sikuu ya nane nane ambazo hufanyika kila 
mwaka kwa kanda hiyo.


No comments:
Post a Comment