TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Friday 26 July 2019

MABONDIA TWAHA KIDUKU NA TSHIBANGU KAYEMBE KUZIPIGA KESHO JULAI 27 ESCAP ONE

MABONDIA TWAHA KIDUKU NA TSHIBANGU KAYEMBE KUZIPIGA KESHO JULAI 27 ESCAP ONE

Promota Kaike Siraju katikati akiwainua mikono juu mabondia Twaha Kiduku kushoto na Tshibangu Kayembe kutoka Kongo baada ya kupima uzito na afya kwa ajili ya mpambano wao wa kugombania ubingwa wa Dunia utakaofanyika katika ukuimbi wa Escap One  Mikocheni B 

Bobondia Twaha Kiduku kushoto akitambiana na bondia kutoka Kongo Tshibangu Kayembe baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa Dunia utakaofanyika Julai 27 katika fukwe za Escap One Mikocheni 

Bondia Ibrahimu Makubi akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Adamu Yusufu utakaofanyika Escap One julai 27

Mabondia Adam Yusufu kushoto akitambiana na Ibrahimu Makubi baada ya kupima uzito na Afya kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika fukwe za Escap One Mikocheni 

BONDIA TSHIBANGU KAYEMBE AKIPIPWA AFYA NA DR DOLNARD MADONO


BONDIA TSHIBANGU KAYEMBE AKIPIPWA UZITO

Friday 19 July 2019

SUPER D ATAMBA KUWA CHOKI HATACHUKUWA UBINGWA WA MASHINDANO YA KING OF THE RING 2019



Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazozi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam

Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazozi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam
                                                Na Mwandishi Wetu

BAADA ya mchujo wa kwanza kupita katika mashindano ya King Of The Ring sasa ni hatua ya nusu fainali itakayowakutanisha mabondia wanne kutoka wilaya za jiji la Dar es salaam ambapo katika Wilaya ya Ilala anatoka Juma Choki ambaye anapeperusha bendera ya wilaya hiyo bondia huyo machachali anatoka katika kambi ya kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye amesema amemuandaa choki kwa ajili ya ushindi

kwani yeye ni mshindani wa kweli ambapo katika mashindano hayo mara ya kwanza katika hatua ya mtoano alimchakaza bondia mgumu zaidi Peter Makundi katika mashindano hayo na sasa yupo katika nusu fainali atuwezi kuwangusha wapenzi wa ngumi kwani ubingwa tunautaka na ninawambiwa king of the Ring 2019 inakwenda Ilala bila kipingamizi wala kikwazo chochote kile

kwa upande wa bondia Choki amesema kuwa yeye yupo fiti kwani anaona mpambano upo mbali anataka ata leo zipigwe kwa kuwa yupo fiti mpaka anajiogopa hivyo basa wapenzi wa mchezo wa ngumi waje kuona nafanya nini siki hiyo katika mchezo wa masumbwi nchini nitandika historia mpya kabisa katika ngumi ambayo aijawai kutokea ila kila mtu atajua kazi ya mikono yangui ni nina na maamuzi yapo katika mikono yangu kwa kutoa vipigo vya paka mwizi

Katika mashindano hayo mabondia wengine waliopita ni Emanuel Mwakembe Issa Nampepeche na Emanuel Timtim mabondia wote hawo ni wa uzito wa kg58

Katika mashindano hayo washindi watapata zawadi kem kem kama kifuta jasho 

JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28


Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam



Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam

Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam

Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam

Saturday 29 June 2019

NGUMI KUPIGWA JULAI 7 CHANIKA MAGENGE MBEGU AHAIDI MAMBO MAKUBWA


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kupiga ngumi ya Mkunjo wa chini Upcut  wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Super D Coach shule ya Uhuru kariakoo Dar es salaam jana Mbegu anajiandaa na mpambano wake wa julai 7 utakaofanyika katika ukumbi wa manka pub Chanika Magenge


Na Mwandishi Wetu
Baada ya tamba mbalimbali za hapa na pale sasa mabondia Hussein Alli 'Gobosi' na Ramadhani Mbegu' Migwede' watazipiga julai 7 katika ukumbi wa Manka Pub Chanika Magenge mpambano wa raundi 8 


Migwede amea wa ahidi mashabiki zake kuja kwa wingi kwani anacheza katika uwanja wa nyumbani na ato waangusha mashabiki zake ujue nimekuwa nikikimbiwa na mabondia mbalimbali hivyo bondia yoyote anaekuja katika anga zangu nakanyaga tu anakuwa kama ngazi

Mpambano uho ulio andaliwa na Rajabu Mhamila 'Super D' kupitia kampuni ya Super D boxing Promotion amesema kuwa pambano hili ndio litakalo amua nani zaidi bada ya mabondia hawo kuwa na viwango sawa kwa sawa  Ambapo katika viwango vya ubora nchini Tanzania Mbegu yeye ni nambari 10 wakati Hussein Ally yeye ni namba 14 katika ubora

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ambapo Hamidu Kwata atazipiga na Luckman Ramadhani na Salum Mandai 'Pacho' atazidunda na Waziri Rosta wakati Juma Zingiziwa ataoneshana umwamba na Alex Kachelewa juma Malenda atavaana na Ibrahimu Makubi na Hussein Shemdoe atazipiga na Juma Kadoda wakati Said Mbelwa atazidunda na Shabni Kaoneka na mapambano mengine mbalimbali ya vijana chipkizi

Super D aliendelea kwa kuseka kuwa siku hiyo ngumi zitaanza mapema sana kutokana na kuwa na mapambano mengi na makali hivyo kuwataka wapenzi wa mchezo wa masumbwi kuwai kufika ukumbini ili ngumi zianze kwa wakati

usalamab wa mali zao ni wakutosha kabisa kwani mashabiki wanatakiwa waje na familia zao wapate burudani ya mchezo wa masumbwi

SUPER D AMNOWA RAMADHANI MBEGU 'MIGWEDE' KUPAMBANA JULAI 7 CHANIKA MAGENGE



Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kupiga ngumi ya Mkunjo wa chini Upcut Mbegu anajiandaa na mpambano wake wa julai 7 utakaofanyika katika ukumbi wa manka pub Chanika Magenge


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi Nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kupiga ngumi ya Mkunjo wa chini Upcut Mbegu anajiandaa na mpambano wake wa julai 7 utakaofanyika katika ukumbi wa manka pub Chanika Magenge

Thursday 20 June 2019

SUPER D KUWAPAMBANISHA ABDUL ZUGO NA RAMADHANI MBEGU SIKU YA SABASABA DAY CHANIKA


Na Mwandishi Wetu
Baada ya tamba mbalimbali za hapa na pale sasa mabondia Abdul Zugo na Ramadhani Mbegu' Migwede' watazipiga julai 7 katika ukumbi wa Manka Pub Chanika Magenge mpambano wa raundi 8

Mpambano uho ulio andaliwa na Rajabu Mhamila 'Super D' kupitia kampuni ya Super D boxing Promotion amesema kuwa pambano hili ndio litakalo amua nani zaidi bada ya mabondia hawo kuwa na viwango sawa kwa sawa ambapo mabondia hwao wmecheza mapambano yao 12 kila mmoja na kushinda 10 kila mmoja na ku droo 2 kila mmoja katika mapambano yao

mpambano huo utakuwa wa kukata na shoka kwa kuwa kila mmoja anataka kuendeleza wimbi la ushindi

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ambapo Hamidu Kwata atazipiga na Luckman Ramadhani na Salum Mandai 'Pacho' atazidunda na Waziri Rosta wakati Juma Zingiziwa ataoneshana umwamba na Alex Kachelewa juma Malenda atavaana na Ibrahimu Makubi na Hussein Shemdoe atazipiga na Juma Kadoda wakati Said Mbelwa atazidunda na Shabni Kaoneka na mapambano mengine mbalimbali ya vijana chipkizi

Super D aliendelea kwa kuseka kuwa siku hiyo ngumi zitaanza mapema sana kutokana na kuwa na mapambano mengi na makali hivyo kuwataka wapenzi wa mchezo wa masumbwi kuwai kufika ukumbini ili ngumi zianze kwa wakati

usalamab wa mali zao ni wakutosha kabisa kwani mashabiki wanatakiwa waje na familia zao wapate burudani ya mchezo wa masumbwi

NGUMI KUPIGWA CHANIKA SIKU YA SABASABA 2019