TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Sunday 5 September 2010

Padre Babtist Mapunda awaasa wakristo kuchague kiongozi bora si chama

Wakati siku za kupiga kura Uchaguzi Mkuu Oktoba 31, kumchagua Diwani wa Kata yako, Mbunge wa Jimbo lako na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zikijongea, viongozi wa dini mbalimbali Mashekhe, Mapadre, Maaskofu na Machungaji wanahubiri kuchagua viongozi waadilifu.

Padre Baptist Mapunda wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam amewataka wakristo kumpigia kura ndiyo kiongozi atakayekuwa tayari kubadilisha maisha ya watanzania na kuondolea maisha duni, bila kujali anatoka chama gani kati ya 18 vilivyopo nchini.

No comments:

Post a Comment