TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Sunday 12 September 2010

Mtoto Omari Selemani (10) hajaonekana kwao Kivule siku 25 sasa


Mwanafunzi wa Darasa la Tatu wa Shule ya Msingi Kitunda, Ilala Dar es Slaam hajaonekana nyumbani kwao kutoka Septemba 22 alipotumwa na mama yake kununua vitafunio anyee chai aende shule, lakini hajaonekana hata baada ya jitihada za kumtafuta hospitali, vituo vya polisi na ndugu zake  mwenye taarifa awasiliane kwa namba 0715 222677 au baba yake Selemani Omari 0718 507824, 0717 758941 na 0653 589650

1 comment: