TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Wednesday 8 September 2010

Karata za wagombea Urais wa CHADEMA, CUF na CCM zaendelea kuchangwa tena

BAADA ya mapumziko ya siku mbili kupisha mtihani wa Darasa la Saba nchini kampeni za kutafuta kura zimeendelea ambako, Dkt. Willibrod Slaa wa CHADEMA akijinadi mkoa wa Singida, Profesa Lipumba wa CUF mkoa wa Lindi na Rais Jakaya Kikwete wa CCM mkoa wa Morogoro.

Matukio-Watu 17 washikiliwa kwa kokota mitihani,picha za Rais Kikwete zachanwa Arusha.

No comments:

Post a Comment