TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Friday 26 July 2019

MABONDIA TWAHA KIDUKU NA TSHIBANGU KAYEMBE KUZIPIGA KESHO JULAI 27 ESCAP ONE

MABONDIA TWAHA KIDUKU NA TSHIBANGU KAYEMBE KUZIPIGA KESHO JULAI 27 ESCAP ONE

Promota Kaike Siraju katikati akiwainua mikono juu mabondia Twaha Kiduku kushoto na Tshibangu Kayembe kutoka Kongo baada ya kupima uzito na afya kwa ajili ya mpambano wao wa kugombania ubingwa wa Dunia utakaofanyika katika ukuimbi wa Escap One  Mikocheni B 

Bobondia Twaha Kiduku kushoto akitambiana na bondia kutoka Kongo Tshibangu Kayembe baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa Dunia utakaofanyika Julai 27 katika fukwe za Escap One Mikocheni 

Bondia Ibrahimu Makubi akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Adamu Yusufu utakaofanyika Escap One julai 27

Mabondia Adam Yusufu kushoto akitambiana na Ibrahimu Makubi baada ya kupima uzito na Afya kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika fukwe za Escap One Mikocheni 

BONDIA TSHIBANGU KAYEMBE AKIPIPWA AFYA NA DR DOLNARD MADONO


BONDIA TSHIBANGU KAYEMBE AKIPIPWA UZITO

No comments:

Post a Comment