TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Monday 17 September 2018

BONDIA VICENT MBILINYI AMSAMBALATISHA SAIDI KIDEDEA KWA T.K.O RAUNDI YA 4


Bondia Said Kidedea kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndani wa Taifa Mbilinyi alishinda kwa T.K.O ya raundi ya 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS


Bondia Said Kidedea kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndani wa Taifa Mbilinyi alishinda kwa T.K.O ya raundi ya 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Vicent Mbilinyi kulia akipiga ngumi ya kulia kwa Saidi Kidedea  wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mbilinyi alishinda kwa K.O raundi ya 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS



Refarii Ramadhani Jifasto akimwinuwa mkono juu bondia Vicent Mbilinyi baada ya kumsambalatisha Saidi Kidedea kwa T.K.O ya Raundi ya 4 mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BOXING NEWS

BONDIA VICENT MBILINYI NA TEAM YAKE AKIWA KATIKA PICHA YA PAMBOJA NA MPINZANI WAKE SAIDI KIDEDEA 

No comments:

Post a Comment