Mkurugenzi wa Kampuni ya Nadia Hause of Beuty, Nadia Azmat akikabidhi jezi kocha wa timu ya Taifa ya Roll, Auther Haule (kushoto) timu hiyo inakwenda kushiriki mashindano ya Afrika yanayofanyika Kenya.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nadia Hause of Beuty, Nadia Azmat akikabidhi sare (Truck Suit) kwa kocha wa timu ya Taifa ya Roll, Auther Haule (kushoto) timu hiyo inakwenda kushiriki mashindano ya Afrika yanayofanyika Kenya.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nadia Hause of Beuty, Nadia Azmat akikabidhi viatu kocha wa timu ya Taifa ya Roll, Auther Haule (kushoto) timu hiyo inakwenda kushiriki mashindano ya Afrika yanayofanyika Kenya.
No comments:
Post a Comment