TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Sunday 8 June 2014

MBUNGE JOSHUA NASSARI AUAGA UKAPERA,AFUNGA NDOA NAA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KILINGA,MERU


"Mmetuona "ni kama ndio maneno yaliyokuwa vichwani mwao maharusi,Joshua Nassari na Anande Nnko wakionesa vyeti vyao vya ndoa.
Maharusi wakiwasalimia waumini waliohudhuria ibada ya ndoa yao (hawapo pichani).
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari na Mai Waifu wake Anande Nnko wakishangiliwa kwa shangwe mara baada ya kumeremeta kwao kwenye kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment