Mkurugenzi
wa Farida Foundation akikabidhi moja ya msaada kwa kaimu Mganga mkuu wa
Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle,Huku wafanyakazi wengine wa
Hospitali hiyo wakishuhudia.
Bi
Farida Abdul Akikabidhi bandeji kwa ajili ya kufungia wagonjwa kwa
Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle
Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle akipoke Ndoo zitakazotumika kwa ajili ya kuhifadhia uchafu katika Hospitali hiyo,ambazo zilitolewa kama Msaada na Farida Foundation |
Bi
Farida Abdul akimuonyesha kaimu Mganga mkuu wa Hospitali ya Palestina
Dk Hugoline Mselle Vifaa ambavyo vimeletwa kama msaada kwenye Hospitali
hiyo.Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na Viti vya magurudumu vitatu ambavyo
vitasaidia kubebea wagonjwa,Bandeji za kufungia vidonda,Ndoo za kuwekea
taka,na vinginevyo.
Hivi
ni viti Vitatu vya kubebea wagonjwa ambavyo vilitolewa kama msaada
kwenye Hospitali ya Palestina(sinza) na Farida Foundation.
Kaimu
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Akimshukuru Bi Farida Abdul kwa
kutoa msaada katika hospitali hiyo na akampongeza kwa moyo wake na
kumsisitiza aendelee Kusaidia kila mara anapopata nafasi ili huduma zao
ziwe bora zaidi kila siku.
No comments:
Post a Comment