TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Thursday 22 May 2014

MATUKIO KATIKA PICHA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA



Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli akiwasilisha hotuba yake ya Bajeti ya mwaka 2014/2015 Bungeni Mjini Dodoma.
 Wabunge wakichangia Hotuba ya Ujenzi hii leo.Waziri Willium Lukuvi na Naibu Waziri Januari Makamba wakijadiliana jambo Bungeni mjini Dodoma.
 Mawaziri Bungeni Mjini Dodoma
 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makala akizungumza jambo na Wabunge wa Chadema, Grace Kiwelu (kushoto) na Lucy Owenya nje ya Bunge
 Wabunge wakitoka Bungeni
 Mkongwe John Shibuda (Chadema) akiteta jambo na vijana David Kafulila (NCCR)  (kushoto) na Deo Fillkunjombe (CCM).

No comments:

Post a Comment