Afisa Habari wa Kitengo cha
Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akizungumza na
wanafunzi wa shule ya msingi ya Diamond juu ya umuhimu wa kujifunza
mauaji ya kimbari ya wayahudi ya mwaka 1933.
Na Mwandishi Wetu, MOblog Tanzania
Kitengo cha Habari cha Umoja wa
Mataifa (UNIC) kimeendelea kutoa mafunzo na elimu juu ya umuhimu wa
kukumbuka maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya ukombozi wa kambi za
mateso ya Auschwitz kwa wanafunzi wa sekondari na shule za msingi
nchini.
Akizungumza na wanafunzi wa
shule ya msingi ya Diamond ya jijini Dar es Salaam leo asubuhi, Afisa
habari wa kitengo cha Habari
No comments:
Post a Comment