TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Friday, 1 February 2013


Kamati ya kusimamia Tuzo ya Wanamichezo Bora 2012 kukutana na wadau

 Habari mdau, naomba kukujulisha kuwa kesho Ijumaa Februari 1, 2013 Kamati ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Mwaka 2012 itakuwa na mkutano na wana habari saa tano asubuhi kwenye mgahawa wa City Sports Lounge Posta Dar es Salaam kuzungumzia mambo mbalimbali ya tuzo hizo. Unakaribishwa sana, naomba mjulishe na mwingine.


Katibu TASWA
31/01/2013

No comments:

Post a Comment