BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) YAZINDUA MKAKATI WA KUTANGAZA UTALII KIMATAIFA
Waziri
wa maliasili na Utali Mh. Balozi Khamis Kagasheki akizungumza katika
uzinduzi wa Mkakati wa mpya wa Utangazaji wa Kimataifa wa Utalii wa
Tanzania (International Marketing Strategy For Tanzania)mpango
uliozinduliwa jioni hii na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwenye hoteli
ya Serena jijini Dar es salaam na kujumuisha wadau mbalimbali
wanaojihusisha na masuala ya utalii ambapo Waziri Kagasheki ameuzindua
rasmi.
(PICHA NAWWW.FULLSHANGWEBLOG,COM)
Waziri
wa maliasili na Utali Mh. Balozi Khamis Kagasheki akikata utepe katika
kitabu kinachoelezea mkakati wa kutangaza utalii wa utalii wa Tanzania
kimataifa kutoka kulia ni Bw. Gaudence Temu Mwenyekiti wa Shirikisho la
vyama vya Utalii Tanzania (TCT), Ahmad Khatib Kamishna wa Utalii na
kushoto ni Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Dkt. Aloyce
Nzuki.
No comments:
Post a Comment