Wasanii wa Kikundi cha Shada, wakifanya onyesho la sarakasi katika 
ufunguzi wa tamasha la kimataifa la Sanaa Bagamoyo. Tamasha hilo 
limefunguuliwa rasmi Jumatatu na litaendelea kwa siku tano hadi Jumamosi
 ijayo
 Moja kati ya mambo yaliyokuwa kivutio kikubwa ni jinsi watoto hao walivyoonyesha umahiri katika kuruka kwenye maringi.
Wasanii wa kundi la Jeshi wakifanya onyesho la Mzingaombwe katika Tamasha la Sanaa la Bagamoyo 
 
 



 
No comments:
Post a Comment