TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Thursday, 13 September 2012

Hatimaye ujenzi wa daraja la Kigamboni waanza rasmi.


Daraja la Kigamboni likiendelea kujengwa katika bahari ya Hindi eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam. Daraja hilo litakapokamilika litakuwa na njia 6 pamoja na barabara za juu na kuwa moja ya Daraja kubwa na la kipekee Afrika Mashariki na Kati.
Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli (katikati), akikagua ujenzi wa daraja la Kigamboni akiwa ameambatana na viongozi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki (mwenye shati jeupe kulia), Mbunge wa Kigamboni Dk Faustine Ndugulile (wa pili kulia) leo jijini Dar es Salaam. Daraja la Kigamboni linajengwa na Kampuni ya China Railways Engineering kwa gharama ya shilingi bilioni 214 na linatarajia kukamilika kabla ya mwaka 2015.

No comments:

Post a Comment