Wanafunzi
wa Shule ya Sekondari ya Vipaji maalum ya Ilboru wakipata maelezo jinsi
Shirika la Umoja wa Mataifa kupitia mashirika yake 21 yanavyofanya
kazi, Afisa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa Tanzania Hoyce Temu akitoa
maelezo hayo.
Wanafunzi
wa sekondari ya Ilboru wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa
Shirika la Umoja wa Mataifa Tanzania kwenye banda la maonyesho wakati wa
mkutano wa 14 wa Mazingira jijini Arusha. Kulia ni Mtaalam wa
Mawasiliano wa UN Sangita Khadka Bista, Harriet Macha kutoka Kitengo cha
Habari cha UN (UNIC) na Afisa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa Hoyce
Temu.
Meneja
Mkuu wa Uwezeshaji wa Shirika la Manedeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)
Bw. Ishmael Dodoo akimwongoza Mratibu Mkazi wa Umoja Mataifa nchini Dr.
Alberic Kacou (wa tatu kulia) alipowasili katika ukumbi wa kimataifa wa
Mikutano (AICC) kuhuduria mkutano wa 14 wa Mazingira na Uzinduzi wa
mtandao wa Mazingira unaosimamiwa na NEMC.
Mratibu
Mkazi wa Umoja Mataifa nchini Dr. Alberic Kacou (kulia) akisikiliza
Wafanyakazi wa UN Harriet Macha na Katibu wa klabu za Umoja wa Mataifa
mkoa wa Kilimanjaro Angaja Fundisha wakitoa maelezo kwa wanafunzi wa
kike wa shule ya Sekondari Arusha
No comments:
Post a Comment