TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Wednesday, 1 August 2012

WAZAZI WANAFUNZI WAZUNGUMZIA MGOMO WA WALIMU



Zainabu Mhamila 'Super D Mmoja wa wanafunzi wanaopinga Mgomo wa Walimu kutoingia Madarasani ambaye amesema kuwa shule yao ya Msimbazi Mseto Walimu wao wamendelea kufundisha kama kawaida na kuwasikitikia wanafunzi wa shule nyingine walimu kuto kuingia Madarasani kufundisha watoto hawo ambao awana makosa yoyote
IKOTA MHAMILA
RAJABU MHAMILA 'SUPER D' AMBAYE NI MZAZA WA IKOTA ANAPINGA KITENDO CHA WALIMU KUTOINGIA MADARASANI KUWAFUNDISHA WANAFUNZI

No comments:

Post a Comment