TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Sunday, 3 June 2012

MKUTANO MKUU WA WANAHISA NMB




  Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga (kulia) akibadilishana mawazo na Maofisa wa NMB kabla ya Mkutano Mkuu wa Wanahisa uliofanyika jijini Dar es Salaam.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Mark Wiessing akizungumza na Mkuu wa Mahusiano na Jamii wa NMB, Shy-Rose Bhanji na Mwanasheria wa NMB, Lilian Komwihangiro. 
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga (kulia) akibadilishana mawazo na Maofisa wa NMB,  Albert Jonkergouw (kushoto) na Protase Tehingisa wakati wa mkutano huo

No comments:

Post a Comment