TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Monday, 21 May 2012

Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Watu Waishio na VVU (NACOPHA) Bw. Vitalis Makayula akitoa mada kuhusu mapungufu na faida ya sheria ya UKIMWI (HAPCA 2008) katika mafunzo ya waandishi wa habari yaliyoandaliwa na AJAAT. Takribani wana habari 30 wamehudhuria mafunzo hayo yanayofadhiliwa na UNDAP kupitia TACAIDS

No comments:

Post a Comment