TANGAZO ISERESPORTS COLLECTION

TANGAZO SHIWATA

Monday 6 September 2010

Alhaji Dkt. Maneno Tamba akivuturisha yatima nyumbani kwake Mburahati

Alhaji Dkt. Maneno Tamba (mwenye bargashia) ambaye ni Mganga wa Tiba Asili Tanzania (CHAWATIATA) na Mwenyekiti wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam akigawa vutari kwa watoto yatima wa Magomeni hafla iliyofanyika nyumbani kwake Mburahati jana.

No comments:

Post a Comment